Crystal Palace wako tayari kusikiliza ofa za majira ya kiangazi kwa Jean-Philippe Mateta ikiwa hawatafikia makubaliano mapya na mshambuliaji huyo wa Kifaransa mwenye umri wa miaka 28. (Sun)
Napoli wanamlenga kiungo mpya Januari na chaguo lao la kwanza ni kiungo wa Manchester United Kobbie Mainoo, Muingereza mwenye umri wa miaka 20. (Gazzetta dello Sport)
Brighton wanaweza kumsajili mlinzi wa Cologne Said El Mala, Mjerumani mwenye umri wa miaka 19, Januari kwa dili linaloweza kugharimu hadi euro milioni 35 (£30.6m). (Teamtalk)
Tags
Michezo
